TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, August 21, 2013

NDAGE NDAGE AITOSA MASHAUZI CLASSIC....!!

Ndage Ndage, mpiga kinanda mpya wa Supershine Modern Taarabu.
 Mpiga kinanda wa Bendi ya Mashauzi Classic Ndage Ndage ameiacha bendi yake hiyo na kujiunga na Supershine Modern Taarabu. 

Akizungumza na mtandao wa taarabuzetu.blogspot.com Ndage alisema kwamba kikubwa kilicho mfanya aihame Mashauzi ni masirahi tu wala hakuna kingine "sijagombana na yeyote katika bendi na hata mkurugenzi wangu Isha nimemuaga, Huku nilipo sasa namshukuru mkurugenzi wangu DR NOH! kwani tokea nimeingia Supershine amekuwa akinijali na kunithamini sana. 

Dr NOH alisema pia kuwa, Supershine kwa sasa ipo katika mipango ya kupanga upya kikosi chake ili kwenda na wakati ndo maana imekuwa ikiongeza wasanii wazuri zaidi na kuimarisha Bendi.

0 comments:

Post a Comment