TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, August 16, 2013

THABIT ABDUL ANAKUJA NA "WHY ME"...!!

Thabit Abdul
 Mpiga kinanda wa 5 Stars Modern Taarab Thabit Abdul yupo katika maandalizi ya ku-record wimbo wake binafsi nje ya bendi yake ya 5 Stars. 

Thabit Abdul ni msanii wa siku nyingi akiwa kama Mpiga Kinanda, Director, Mtunzi wa Mashairi nk. amesema wimbo huo ameupa jina la WHY ME? utarekodiwa katika studio ya Soundcrafters Temeke 

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Thabit alisema kwamba wimbo wake huo ambao anategemea utakuja kufanya vizuri zaidi, Solo gitaa atampigia Kisolo au J4 na gitaa la Besi atapiga Mussa Mipango. 

Katika wimbo huo kama ilivyo kawaida yangu kinanda nitapiga mwenyewe na sauti pia nimeweka mwenyewe. Mashabiki wasubirie kitu cha ukweli!.

0 comments:

Post a Comment