TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, August 25, 2013

BANDARI MODERN TAARABU, YAMNYEMELEA MSANII WA KING'S...

Mape Kibwana wa Bandari Modern.

Bendi iliyoanzishwa hivi karibuni ya Bandari Modern Taarabu iliyo chini ya ukurugenzi wa "Mzee wa Bandari" imeamua kuvunja Benki yake na kuimarisha kikosi ili kukabiliana na upinzani ulipo katika soko la Taarabu nchini. 

Akizungumza na mtandao wa taarabuzetu.blogspot.com Kiongozi mwandamizi wa bendi hiyo ambae hakupenda kutajwa jina lake alisema kwamba baada ya kufanikiwa kumchukua msaani nguli Mape Kibwana kwa sasa wapo mbioni kumnasa mpiga kinanda wa King's Modern Taarabu MZAKA NUNDU kwa gharama yoyote ile, "Sisi kwetu pesa sio tatizo kabisa" Alimaliza kwa kusema Mzee wa Bandari.

0 comments:

Post a Comment