TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, August 14, 2013

ALLY STAR, A.K.A. "SHARO BABU" AKAMILISHA ALBAM.



Muimbaji wa siku nyingi na muajiliwa wa bendi ya T.O.T. Taarabu Ally Star au "Sharo Babu" amekamilisha albamu yake binafsi iitwayo "Bahati ya paka si bahati ya mbwa". 

Akizungumza na mtandao wa taarabuzetu.blogspot.com Ally star alizitaja nyimbo zilizopo katika albamu hiyo kuwa ni:- 
1. Bahati ya paka si bahati ya mbwa 
2. Mvuvi kinda, 
3. Hauvumi lakini umo remix, 
4. Muwa remix 
5. Fikira Ulioimbwa na Bi Ridhik.

Ameendelea kusema kuwa albamu yake hiyo ni nzuri sana kwani studio aliyorekodia ya Kazi Record ina ubora mkubwa sana. watu wasubiri kusikia kazi nzuri.

0 comments:

Post a Comment