TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, August 28, 2013

G5 MODERN TAARABU IMEKUJA KUWASHIKA WAKAZI WA ILALA NA VITONGOJI VYAKE.

Wasanii wa G5 Modern Taarabu


Bendi ya G5 Modern Taarabu kuwasha moto Mx Bar Ilala kila siku ya Alhamisi.

Katika kile kinachoonekana kama kuwaendea zaidi wananchi wa kipato cha kati Bendi ya G5 Modern Taarabu kwa mara ya kwanza toka ianzishwe inatarajia kufanya show katika ukumbi wa MAX HALL ilala siku ya Alhamisi hii na kila Alhamisi itakuwa ipo pale. 

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi mpiga besi wa bendi hiyo ambae pia ni kiongozi Shaibu Besi alisema kwamba watahakikisha burudani inakuwa ya nguvu sana ambapo wamejiandaa kupiga show ya kila Alhamisi.

Wapenzi wote wa Taarabu na G5 Modern Taarabu wanambwa kuhudhulia kwa wingi kuja kupata burudani na G5 Modern Taarabu.

0 comments:

Post a Comment