TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, August 29, 2013

JUMANNE ULAYA:- SIBISHANI NA WATOTO WADOGO KWENYE MUZIKI...

Jumanne Ulaya J4.
 Mpiga gitaa la solo wa siku nyingi na msanii wa 5 Stars Modern Taarabu kwa sasa Jumanne Ulaya au J4 amevunja ukimya na kuwaambia wale wote wanaojidanganya kumfuata kwa karibu katika upigaji wa chombo hicho wanajidanga na kamwe wasitegemee kama ipo siku moja watamfunika. 

Aliyasema hayo baada ya mpiga solo wa Jahazi Modern Taarabu Mohamedy Mauji kuonekana kama amejibu habari iliyoandikwa na blog hii kwamba Jumanne Ulaya ni mpiga solo bora wa taarabu kwa sasa hapa nchini. 

Mauji alisema yeye ni bora kwa sasa na hana mpinzani...! Mmh! tutaandaa pambano maana...!

0 comments:

Post a Comment