TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Tuesday, August 20, 2013

SALHA ALIKUWA MPENZI WANGU TOKEA MWAKA 2005...!!

 Muimbaji wa kutumainiwa wa bendi ya 5 Star's Modern Taarabu Hammer Q amesema kwamba walianza uhusiano wao yeye na Salha tokea mwaka 2005. 

Hammer aliyasema hayo wakati alipokuwa akihojiwa na Sakina Lyoka ambae ni mtangazaji wa Clouds TV katika kipindi cha ng'aring'ari. 

Katika mahojiano hayo ambayo pia alikuwepo na Salha mkewe, Hammer alitumia nafasi hiyo kuwaonya wale wote "vizavizabina" wanaopenda kuingilia mapenzi yao kwamba wafanye yao sasa kwani wamesha wagundua. 

Walichukua nafasi hiyo pia kutambulisha video yao mpya kabisa iitwayo TUNAPENDANA. ambayo pia ipo katika mtandao huu tuliwawekea wapenzi wetu wa taarabuzetu.blogspot.com.

0 comments:

Post a Comment