TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, August 29, 2013

MARIAM HAMDANI:- QUEEN SALMA NI MWALIMU WANGU

Queen Salma.
 Msanii Nyota wa 5 Star's Modern Taarabu, Mariam Hamdani amekili na kusema kwamba Queen Salma ambae ndie muimbaji nyota wa Supershine Modern Taarabu ndio mwalimu wake katika uimbaji wa taarabu. 

Ameyasema hayo wakati alipokutwa katika mazoezi ya Supershine na mwandishi wa habari hizi. 

Unajua nina safari ndefu sana katika muziki huu wa taarabu nchini, na mwanzilishi wa safari yangu ni Queen Salma, mimi namthamini na kumheshimu kama mama yangu mzazi!. 

Kwa upande wake Queen Salma alimshukuru Mariam Hamdani kwa kukumbuka wapi alipotoka na mungu amjaalie.

0 comments:

Post a Comment