TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, August 18, 2013

TETESI:- MAPE KIBWANA AJIUNGA NA SUPERSHINE MODERN TAARABU...

Mape Kibwana.
 Muimbaji aliewahi kutamba kwa kipindi kirefu katika bendi ya Dar Modern Taarabu kipindi hicho Mape Kibwana inasemekana yupo katika hatua za mwisho katika mazungumzo ya kujiunga na kundi la Supershine Modern Taarabu. 

Akizungumza na mtandao wa taarabuzetu.blogspot.com Mape alisema ni kweli mipango hiyo ipo sababu kuna kiongozi mmoja wa bendi hiyo alinipigia simu kunijulisha hivyo na Jumatatu panapo majaaliwa basi nitakwenda kumalizana nao kabisa. 

Mape Kibwana kwa sasa ni msanii huru baada ya yeye mwenyewe kuamua kuiacha bendi yake ya zamani ya Dar Modern Taarabu.

0 comments:

Post a Comment