TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, August 21, 2013

MAPE KIBWANA ATIMKIA BANDARI MODERN TAARABU...

Mape Kibwana, Msanii wa Bandari Modern Taarabu.
 Zile tetesi zilizozagaa jijini kwamba Mape kibwana ana mpango wa kujiunga na bendi ya Supershine Modern Taarabu wiki hii zimefikia kikomo baada ya yeye mwenyewe kuweka wazi kwamba kwa sasa yupo Bandari Modern Taarabu. 

Akizungumza na mtandao makini wa taarabuzetu.blogspot.com Mape alisema kuwa "wakati viongozi wa Supershine waliponifuata kwa ajiri ya kujiunga na bendi yao, tayari nilikuwa na mazungumzo na viongozi wa Bandari Modern Taarabu japo hatukuwa tumeelewana vizuri. Sasa juzi ndio nimemalizana na Bandari modern taarabu na kwa sasa ni msanii wao rasmi". alimaliza.

0 comments:

Post a Comment