TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, August 14, 2013

DAR MODERN TAARABU, KUFANYA KWELI LEO JUMATANO...!

Baadhi ya wasanii wa Dar Modern Taarabu.
 Bendi ya Dar Modern Taarabu yenye makazi yake magomeni jijini Dar-es-salaam inatarajia kukonga nyoyo za wakazi wa Magomeni na vitongoji vyake pale watakaposhusha burudani ya nguvu katika ukumbi wa Lango la jiji Magomeni jijini Dar. 

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Muimbaji wa bendi hiyo Twaha Nassoro alisema kwamba bendi yao imepania kuwadhihirishia mashabiki wake ni kwanini wao ni bora kila idara!. "unajua sisi Dar modern sio watu wakusema sana, sisi ni vitendo tu siku zote"!. 

Ikumbukwe Dar modern walikuwa jikoni kupika vibao vyao vipya.

0 comments:

Post a Comment