TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Tuesday, August 20, 2013

WAIMBAJI WENGI WAKIUME WA TAARABU WANABANA PUA...!!

Hassan Kumbi (Hassan Vocha).
 Jina lake halisi ni Hassan Kumbi, ila kwa sasa amekuwa akitambulika zaidi kwa jina la Hassan Vocha. 

Huyu ni muimbaji wa bendi ya G5 Modern Taarabu kwa sasa, hapo kabla alikuwa anaimba Bongo fleva na alitamba na kibao chake cha mahadhi ya mduara kiitwacho VOCHA. 

Msaani huyu siku ya Jumapili katika Bonanza la G5 Ikweta grill, alimwambia mwandishi wa Habari hizi kwamba "najiamini na sitishwi na msaani yeyote wakiume kwa uwezo wa kuimba kwani walio wengi wanabana pua tu kama bongofleva! ila mimi naimbia sauti yangu halisi na nitawasumbua daima milele!"

0 comments:

Post a Comment