TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, August 24, 2013

WASANII WA G5 MODERN TAARABU WASEMA, MTUACHEEE...

Baadhi ya wasanii wa G5 Modern Taarabu.
 Wasanii wa Bendi mpya ya G5 Modern Taarabu wamesema kwamba wamekuwa wakionewa kijicho na baadhi ya wasanii wa bendi zingine kutokana na jinsi mkurugenzi wao Hamisi Slim anavyo wajali na kuwathamini sana. 

Yaani inafikia wakati wenzetu wanatuambia tunalelewa kama kuku wa amadoli!. 

Ndugu mwandishi tunaomba uwafikishie ujumbe huu kwamba tunaomba watuache na mambo yetu, mbona wao wakimaliza show wanatembea na miguu kurudi makwao sisi hatuwatangazi? tunajua mambo yao mengi... watuache kabisa waambie, alimalizia kusema msaani mmoja wa G5 ambae hakupenda kutajwa jina lake.

0 comments:

Post a Comment