TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Tuesday, July 30, 2013

MUSSA KIJOTI ASIMAMISHWA KAZI 5 STAR'S MODERN TAARABU!...

Mussa Kijoti
 Muimbaji Mussa Kijoti wa 5 Stars Modern Taarabu, amesimamishwa kuendelea kufanya kazi katika bendi hiyo kwa muda usiojulikana. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kiongozi mmoja wa bendi hiyo alisema "Mussa Kijoti amesimamishwa bendi na uongozi na ni mpaka tutakapo kaa kama uongozi kwa pamoja kujadili suala lake ila kwa sasa ataendelea kukaa pembeni". 

Alipotafutwa kwa njia ya simu msanii huyo alikanusha kusimamishwa kwake na kusema kwamba hana taarifa na hata uongozi haujampa barua ya kusimamishwa kwake, siku za hivi karibu msanii huyo ameonekana katika bendi ya G5 Modern Taarabu!

0 comments:

Post a Comment