TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, July 31, 2013

HASNA JUMA "MASAUTI"... KUTOKA MKUBWA NA WANAWE MPAKA G5 MODERN TAARABU.

Hasna Juma (Masauti).
Tasnia ya Taarabu imekuwa ikipanuka kila kukicha na ndio maana miaka ya hivi karibu tumekuwa tukishuhudia wasanii kadhaa wa bongo fleva wakihamia huko. 
Mfano halisi wa haya niyasemayo ni Hammer Q, Babu Ayubu, Mrisho Rajabu "B.S.S.", Abubakary Mzuri na wengineo. 

Hasna Juma "Masauti" ni jina lililozoeleka katika Bongo fleva hasa katika kambi ya mkubwa Fella pale TMK, lakini leo hii ukienda Ikweta Grill utamkuta akiwa na kundi zima la G5 Modern Taarab akifanya mazoezi na wenzake. 

Hasna ameshawahi kutoa wimbo katika Bongo fleva na kutamba sana tu!.Wimbo uliitwa "Smile akimshirikisha Young Fanny".

0 comments:

Post a Comment