TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, July 31, 2013

Thabit Abdul sasa hii njaa...!!!

Huyu ndio Thabit Abdul. Director, Mtunzi wa Mashairi, Producer, Mpiga Kinanda mahili, Mcharaza gitaa na na naa.....
Hapa akirekebisha shairi wakati akitengeneza nyimbo..
Thabit Abdul alikutwa na mwandishi wa mtandao huu wa taarabuzetu.blogspot.com akitengeneza nyimbo huku akifanya kila kitu yeye mwenyewe kwa wakati mmoja!!. hapo anapiga Gitaa, Kinanda, Mashairi anarekebisha hapohapo pamoja na kumrekebisha msanii aliyekuwa akirekodi nyimbo yake. Kweli U-Director kazi... Hongera sana mkubwa...!!



0 comments:

Post a Comment